MPANDA Wanafunzi wa kidato cha tano na sita katika shule ya Sekondari ya Wasichana Mpanda…
MPANDA
Walimu wa shule ya sekondary ya Rungwa wameiomba taasisi ya isiyo ya kiserikali ya Nilinde Organisation N.C.O kuwasaidia katika kuboresha vyoo vya walimu ambavyo vimekuwa changamoto kwa matumizi shuleni hapo.
NA:Ben Gadau
