pichani ni Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko akiwa katika moja ya banda…
MPANDA
Walimu wa shule ya sekondary ya Rungwa wameiomba taasisi ya isiyo ya kiserikali ya Nilinde Organisation N.C.O kuwasaidia katika kuboresha vyoo vya walimu ambavyo vimekuwa changamoto kwa matumizi shuleni hapo.
NA:Ben Gadau
