pichani ni Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko akiwa katika moja ya banda…
KATAVI
Kijiji cha mtisi kilichopo kata ya sitalike halmashauri ya Nsimbo mkoani katavi kinakabiliwa na changamoto ya kukosa ofisi ya serikali ya kijiji licha ya fedha za ujenzi wa ofisi kutolewa kwenye kijiji hicho.
Na:Aziza Ramadhan