Afisa ustawi manispaa ya mpanda Anyulumye Longo. Picha na Leah Kamala Na Leah Kamala Baadhi…
KATAVI
Kijiji cha mtisi kilichopo kata ya sitalike halmashauri ya Nsimbo mkoani katavi kinakabiliwa na changamoto ya kukosa ofisi ya serikali ya kijiji licha ya fedha za ujenzi wa ofisi kutolewa kwenye kijiji hicho.
Na:Aziza Ramadhan
