skip to Main Content
This image has an empty alt attribute; its file name is dsc-0797-1024x683.jpg

“Madiwani Wa Halmashauri ya Manispaa Ya Mpanda Wameonyesha Kutoridhishwa Na Bajeti Hiyo Na Kumtaka Manager Wa Tarura Kwenda Kupitia Upya Na Kuiwasilisha Kwa Baraza Hilo Ifikapo Jumatatu ya tarehe 11 mwezi wa tatu mwaka huu” Picha na Deus Daud

Na Deus Daud-katavi

Baraza La Madiwani Manispaa Ya Mpanda Mkoani Katavi Limepitisha Mapendekezo ya Bajeti Ya TARURA Ya Shilingi Billioni 4.8, Ambayo Itakwenda Kurekebisha Barabara Zilizpo Manispaa Ya Mpanda Mkopani Hapa.

Katika Kikao Hicho Madiwani Wa Manispaa Ya Mpanda Wameonyesha Kutoridhishwa Na Bajeti Hiyo Na Kumtaka Manager Wa Tarura Kwenda Kupitia Upya Na Kuiwasilisha Kwa Baraza Hilo Ifikapo Jumatatu ya tarehe 11 mwezi wa tatu mwaka huu.

Kwa Upande Wake Manager Wa TARURA Manispaa Ya Mpanda Injinia SIMONI MUNGE amesema Kuwa Watakwenda Kuyafanyia Kazi Maelekezo Waliyopewa na Baraza La Madiwani Ili Kuondoa Changamoto Ya Barabara Iliyopo Manispaa ya Mpanda.

Aidha Mbunge Wa Jimbo La Mpanda Sebastiani Kapufi Amewataka Madiwani Kuwa Watulivu Kwenye Kipindi Hiki Na Kuitaka TARURA Kuendelea Kushughulikia Maeneo Korofi Yaliyo haribika.

This image has an empty alt attribute; its file name is dsc-0770-1024x683.jpg

Madiwani walipokuwa wakipitia taarifa ya Mapendekezo ya bajeti. Picha na Deus Daud



Back To Top