miongoni mwa Takataka ambazo zipo katika maeneo ya makazi ya watu mtaa wa Mpadeco.picha na…

MPANDA
Kikundi cha mageuzi kilichopo mtaa wa mpadeko kata ya makanyagio manispaa ya mpanda mkoani katavi kimeeleza mafanikio mbalimbali yaliyopatika ndani ya kikundi hicho baada ya kukopeshwa bajaji na halmashauri ya manispaa ya mpanda.