KATAVIKamishna wa ardhi mkoa wa katavi amemuomba Naibu wa Ardhi Nyumba Maendeleo na Makazi Geofrey…

MPANDA
Kikundi cha mageuzi kilichopo mtaa wa mpadeko kata ya makanyagio manispaa ya mpanda mkoani katavi kimeeleza mafanikio mbalimbali yaliyopatika ndani ya kikundi hicho baada ya kukopeshwa bajaji na halmashauri ya manispaa ya mpanda.