Afisa ustawi manispaa ya mpanda Anyulumye Longo. Picha na Leah Kamala Na Leah Kamala Baadhi…

MPANDA
Kikundi cha mageuzi kilichopo mtaa wa mpadeko kata ya makanyagio manispaa ya mpanda mkoani katavi kimeeleza mafanikio mbalimbali yaliyopatika ndani ya kikundi hicho baada ya kukopeshwa bajaji na halmashauri ya manispaa ya mpanda.
