Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph. Picha na Anna Mhina Na Sultani Kandulu Mkuu…
Leo majira ya saa 10:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki sawa na saa 9:00 alasiri ya leo club ya SIMBA itashuka dimbani nchini Botswana kucheza na timu ya JWANENG GALAXY katika michuano ya klabu bingwa Afrika.

baki na sisi tutakujuza kila kitakacho jirin katika mechi hiyo
