pichani ni Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko akiwa katika moja ya banda…
Wananchi Mkoani Katavi waanza kunufaika na mafunzo ya Ujasiriamali yanayoendeshwa na Mpanda Radio FM kwa kushirikiana na Mkwawa Vocational Training Center, Mafunzo hayo yatatolewa Kwa siku tatu kuanzia August 15 Hadi August 17.


#mpandaradiofm.97.0